Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zekaria 12:10

Zekaria 12:10 SCLDC10

Wazawa wa Daudi na wakazi wa mji wa Yerusalemu nitawajaza roho ya huruma na maombi, nao watamtazama yeye waliyemtoboa; watamlilia kama mtu amliliavyo mtoto wake wa pekee, au kama mtu amliliavyo kwa uchungu mzaliwa wake wa kwanza.

Soma Zekaria 12