Kumcha Mwenyezi-Mungu hurefusha maisha, lakini miaka ya waovu itakuwa mifupi.
Soma Methali 10
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Methali 10:27
Siku 3
Kwa sababu tumepata upendo na neema nyingi za Mungu, ni rahisi kuwa mlegevu kuhusu utii. Hatumchukulii Mungu kwa uzito vya kutosha. Tunaacha kumcha na hatuzingatii matokeo ya kutotii kwetu. Mruhusu mwandishi Tony Evans aambaye vitabu vyake vyauzwa sana akufundishe kuhusu baraka zinazotokana na kuweka agano na Mungu na hatari inayotokea tunapoacha kumchukulia kwa uzito.
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video