Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Marko 10:6-8

Marko 10:6-8 SCLDC10

Lakini tangu kuumbwa ulimwengu, Mungu aliumba mwanamume na mwanamke. Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, nao wawili watakuwa mwili mmoja. Kwa hiyo, wao si wawili tena bali mwili mmoja.

Soma Marko 10

Video zinazohusiana