Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Luka 2:8-9

Luka 2:8-9 SCLDC10

Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao. Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukawaangazia pande zote. Wakaogopa sana.

Soma Luka 2

Picha ya aya ya Luka 2:8-9

Luka 2:8-9 - Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao. Malaika wa Bwana akawatokea ghafla, na utukufu wa Bwana ukawaangazia pande zote. Wakaogopa sana.

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Luka 2:8-9