Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 42:11-12

Yeremia 42:11-12 SCLDC10

Msimwogope mfalme wa Babuloni mnayemwogopa; naam, msimwogope hata kidogo. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema. Mimi niko pamoja nanyi kuwaokoeni na kuwasalimisha kutoka mikononi mwake. Nitawahurumieni na kumfanya mfalme awahurumie na kuwaacha nchini mwenu.

Soma Yeremia 42