Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 8:8

Mhubiri 8:8 SCLDC10

Hakuna mtu aliye na uwezo wa kushikilia roho yake asife; hakuna mtu aliye na uwezo juu ya siku ya kufa. Wakati wa vita hakuna kuponyoka, na uovu hauwezi kumwokoa mwovu.

Soma Mhubiri 8