Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Amosi 7:14-15

Amosi 7:14-15 SCLDC10

Amosi akamjibu Amazia, “Mimi si nabii wa kuajiriwa, wala si mmoja wa kikundi cha manabii. Mimi ni mchungaji na mtunza mikuyu. Mwenyezi-Mungu alinitoa katika kazi yangu hiyo ya uchungaji, akaniamuru nije kuwaambia unabii watu wake wa Israeli.

Soma Amosi 7