Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Sam 23:3-4

2 Sam 23:3-4 SCLDC10

Mungu wa Israeli amesema, Mwamba wa Israeli ameniambia, ‘Mtu anapowatawala watu kwa haki, atawalaye kwa kumcha Mungu, yeye ni kama mwanga wa asubuhi, jua linapochomoza asubuhi isiyo na mawingu; naam, kama mvua inayootesha majani ardhini’.

Soma 2 Sam 23