Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Wakorintho 4:8-9

2 Wakorintho 4:8-9 SCLDC10

Daima twapata taabu, lakini hatugandamizwi; twapata mashaka, lakini hatukati tamaa; twateseka, lakini hatuachwi bila msaada; na ingawa tumeangushwa chini, hatukuangamizwa.