Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wathesalonike 3:13

1 Wathesalonike 3:13 SCLDC10

Hivyo ataiimarisha mioyo yenu, nanyi mtakuwa wakamilifu na watakatifu mbele ya Mungu na Baba yetu wakati Bwana wetu Yesu atakapokuja pamoja na wote walio wake.