Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Sam 19:1-2

1 Sam 19:1-2 SCLDC10

Shauli alimweleza mwanawe Yonathani na maofisa wake juu ya mpango wake wa kumwua Daudi. Lakini Yonathani, mwanawe Shauli, alimpenda sana Daudi. Kwa hiyo, akamwambia, “Baba yangu anakusudia kukuua. Hivyo, jihadhari. Kesho asubuhi, jifiche mahali pa siri, ukae hapo.

Soma 1 Sam 19