Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Sam 15:22

1 Sam 15:22 SCLDC10

Ndipo Samueli akamwambia, “Je, Mwenyezi-Mungu anapendelea zaidi dhabihu za kuteketezwa na matambiko, kuliko kuitii sauti yake? Tazama, kumtii yeye ni bora kuliko matambiko na kumsikiliza kuliko kumtambikia mafuta ya beberu.

Soma 1 Sam 15