Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Fal 3:6

1 Fal 3:6 SCLDC10

Solomoni akamwambia, “Ulimwonesha mtumishi wako Daudi, baba yangu, fadhili nyingi, kwa sababu alikutumikia kwa uaminifu, uadilifu na kwa haki; na umedumisha fadhili zako kwa kumpa mwana anayeketi sasa kwenye kiti chake cha enzi.

Soma 1 Fal 3