Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Fal 19:21

1 Fal 19:21 SCLDC10

Basi, Elisha akamwacha Elia, akairudia jozi yake ya ng'ombe, akawachinja ng'ombe hao na kuwapika akitumia miti ya nira kama kuni, akawapa watu, wakala. Kisha akaondoka, akamfuata Elia na kuwa mtumishi wake.

Soma 1 Fal 19