Warumi 8:35
Warumi 8:35 TKU
Je! kuna kitu chochote kinachoweza kututenga na upendo wa Kristo? Je! ni matatizo au shida au mateso? Ikiwa hatuna chakula au mavazi au tunakabiliwa na hatari au kifo, je mambo hayo yatatutenga sisi kutoka katika upendo wake?







