Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Matendo 16:27-28

Matendo 16:27-28 TKU

Mkuu wa gereza alipoamka na kuona milango ya gereza imefunguliwa. Alidhani wafungwa wametoroka, hivyo alichukua upanga wake ili ajiue. Lakini Paulo alipaza sauti akamwambia, “Usijidhuru! Sote tuko hapa!”

Soma Matendo 16

Video ya Matendo 16:27-28