Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 18:6

Mathayo 18:6 BHNTLK

“Yeyote atakayemkosesha mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali afungwe shingoni jiwe kubwa la kusagia na kuzamishwa kwenye kilindi cha bahari.