Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Warumi 13:1-2

Warumi 13:1-2 SRUV

Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu. Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu.

Soma Warumi 13

Video ya Warumi 13:1-2