Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 31:14-15

Mithali 31:14-15 SRUV

Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali. Tena huamka, kabla usiku haujaisha; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao.

Soma Mithali 31

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mithali 31:14-15

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha