Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 12:46-47

Mathayo 12:46-47 SRUV

Alipokuwa katika kusema na makutano, tazama, mama yake na ndugu zake walikuwa wakisimama nje, wataka kusema naye. Mtu mmoja akamwambia, Tazama, mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kusema nawe.

Soma Mathayo 12

Mipango ya Kusoma Bila Malipo na Ibada zinazohusiana na Mathayo 12:46-47

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha