Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mambo ya Walawi 24:16

Mambo ya Walawi 24:16 SRUV

Na yeyote atakayelaani jina la BWANA hakika atauawa; mkutano wote watamwua kwa kumpiga kwa mawe; kama ni mgeni, kama ni mzaliwa, hapo atakapolaani jina la BWANA atauawa.