Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Kut 13:17

Kut 13:17 SUV

Ilikuwa hapo Farao alipokwisha kuwaacha watu hao waende zao, Mungu hakuwaongoza kwa njia ya nchi ya Wafilisti, ijapokuwa ilikuwa ni ya karibu; maana Mungu alisema, Wasije wakaghairi watu hawa hapo watakapokutana na vita, na kurudi Misri

Soma Kut 13

Video ya Kut 13:17