Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

2 Nya 12:5

2 Nya 12:5 SUV

Ndipo akaja Shemaya nabii kwa Rehoboamu, na kwa wakuu wa Yuda, waliokusanyika Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki, akawaambia, BWANA asema hivi, Ninyi mmeniacha mimi, kwa hiyo nami nimewaacha ninyi mkononi mwa Shishaki.

Soma 2 Nya 12