Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Tito 2:7-8

Tito 2:7-8 NENO

Katika kila jambo uwe kielelezo kwa kutenda mema. Katika mafundisho yako uoneshe uadilifu, utaratibu, na usemi sahihi usio na lawama, ili wanaokupinga watahayari, wakose neno lolote baya la kusema kutuhusu.