Waovu ni wapotovu tangu kuzaliwa kwao, toka tumboni mwa mama zao ni wakaidi na husema uongo.
Soma Zaburi 58
Sikiliza Zaburi 58
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Zaburi 58:3
30 Siku
Karibu katika mpango huu wa Soma Biblia Kila Siku mwezi wa Novemba. Utasoma kitabu cha Isaya. Utapata pia maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa na kutafakari Neno ulilosoma. Katika mpango huu, nukuu zote za Biblia zimenukuliwa kutoka katika Swahili Revised Union Version (SRUV).
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!