Niokoe na uonevu wa wanadamu, ili niweze kutii mausia yako. Mwangazie mtumishi wako uso wako na unifundishe amri zako. Chemchemi za machozi zinatiririka kutoka machoni yangu, kwa kuwa sheria yako haifuatwi.
Soma Zaburi 119
Sikiliza Zaburi 119
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Zaburi 119:134-136
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video