Zaburi 119:121-122
Zaburi 119:121-122 NEN
Nimetenda yaliyo haki na sawa, usiniache mikononi mwa watesi wangu. Mhakikishie mtumishi wako usalama, usiache wenye kiburi wanionee.
Nimetenda yaliyo haki na sawa, usiniache mikononi mwa watesi wangu. Mhakikishie mtumishi wako usalama, usiache wenye kiburi wanionee.