Mithali 17:2-3
Mithali 17:2-3 NENO
Mtumishi mwenye hekima atamtawala mwana aaibishaye, naye atashirikiana katika urithi kama mmoja wa hao ndugu. Kalibu husafisha fedha na tanuru husafisha dhahabu, bali BWANA huujaribu moyo.
Mtumishi mwenye hekima atamtawala mwana aaibishaye, naye atashirikiana katika urithi kama mmoja wa hao ndugu. Kalibu husafisha fedha na tanuru husafisha dhahabu, bali BWANA huujaribu moyo.