Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 22:27-28

Hesabu 22:27-28 NEN

Punda alipomwona malaika wa BWANA, alilala chini Balaamu angali amempanda, naye Balaamu akakasirika na kumpiga kwa fimbo yake. Kisha BWANA akakifungua kinywa cha punda, akamwambia Balaamu, “Nimekutendea nini kinachokufanya unipige mara hizi tatu?”