Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Hesabu 14:11

Hesabu 14:11 NEN

Bwana akamwambia Musa, “Watu hawa watanidharau hadi lini? Wataendelea kukataa kuniamini mimi hadi lini, ingawa nimetenda ishara za miujiza miongoni mwao?