Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mathayo 20:6

Mathayo 20:6 NENO

Mnamo saa kumi na moja akatoka tena akawakuta wengine bado wamesimama bila kazi. Akawauliza, ‘Kwa nini mmesimama hapa kutwa nzima pasipo kufanya kazi?’