“Yeye huvuta juu matone ya maji, ayachujayo kama mvua kutoka kwenye vijito; mawingu huangusha chini maji yake, nayo mvua nyingi huwanyeshea wanadamu. Ni nani ajuaye jinsi ayatandazavyo mawingu, jinsi angurumavyo kutoka hemani mwake. Tazama jinsi anavyotandaza umeme wa radi kumzunguka, naye huvifunika vilindi vya bahari. Hivi ndivyo atawalavyo mataifa, na kuwapa chakula kwa wingi. Huujaza mkono wake kwa umeme wa radi, na kuuagiza kulenga shabaha yake. Ngurumo zake hutangaza dhoruba inayokuja; hata mifugo hujulisha kukaribia kwake.
Soma Ayubu 36
Sikiliza Ayubu 36
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Ayubu 36:27-33
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video