Ayubu 11:13-15
Ayubu 11:13-15 NENO
“Hata sasa ukiutoa moyo wako kwake na kumwinulia mikono yako, ukiiondolea mbali ile dhambi iliyo mkononi mwako, wala usiuruhusu uovu ukae kwenye hema lako, ndipo utainua uso wako bila aibu; utasimama imara bila hofu.