Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 8:6

Yeremia 8:6 NENO

Nimewasikiliza kwa makini, lakini hawataki kusema lililo sawa. Hakuna anayetubu makosa yake akisema, “Nimefanya nini?” Kila mmoja hufuata njia yake mwenyewe kama farasi anayeenda vitani.