Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 19:5

Yeremia 19:5 NENO

Wamejenga mahali pa juu pa kuabudia pa Baali ili kuteketeza wana wao katika moto kuwa sadaka kwa Baali, kitu ambacho sikukiamuru wala kukitaja, wala hakikuingia akilini mwangu.