Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 19:15

Yeremia 19:15 NENO

“Hili ndilo BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Sikilizeni! Nitaleta juu ya mji huu pamoja na vijiji vinavyouzunguka kila maafa niliyosema dhidi yake, kwa sababu wamekuwa na shingo ngumu, na hawakuyasikiliza maneno yangu.’ ”