Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 18:9-10

Yeremia 18:9-10 NENO

Wakati mwingine nitakapotangaza kuwa taifa au ufalme utasimikwa na kujengwa, ikiwa litafanya uovu mbele zangu na halitaitii sauti yangu, nitaghairi kutenda jema nililokuwa nimekusudia.