Yeremia 18:7-8
Yeremia 18:7-8 NENO
Wakati wowote nitatangaza kuwa taifa au ufalme utangʼolewa, utaangushwa na kuangamizwa, Lakini ikiwa taifa nililolionya litatubu na kuacha uovu wake nitaghairi, wala sitaleta maafa niliyokuwa nimekusudia kwa taifa hilo.