Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Yeremia 18:7-8

Yeremia 18:7-8 NENO

Wakati wowote nitatangaza kuwa taifa au ufalme utangʼolewa, utaangushwa na kuangamizwa, Lakini ikiwa taifa nililolionya litatubu na kuacha uovu wake nitaghairi, wala sitaleta maafa niliyokuwa nimekusudia kwa taifa hilo.