Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waamuzi 4:9

Waamuzi 4:9 NENO

Debora akamwambia, “Hakika nitaenda pamoja nawe, lakini njia unayoiendea haitakupa heshima wewe, kwa kuwa BWANA atamtia Sisera mikononi mwa mwanamke.” Hivyo Debora akaenda pamoja na Baraka hadi Kedeshi