Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mhubiri 5:2

Mhubiri 5:2 NENO

Usiwe mwepesi kuzungumza, usiwe na haraka katika moyo wako kuzungumza lolote mbele za Mungu. Mungu yuko mbinguni nawe uko duniani, kwa hiyo maneno yako na yawe machache.