ili msije mkajichafua na kujitengenezea sanamu au kinyago chenye umbo lolote kama la mwanaume au mwanamke, au kama mnyama aliye juu ya nchi au ndege yeyote arukaye angani, au kama kiumbe kitambaacho juu ya ardhi au samaki yeyote aliye ndani ya maji.
Soma Kumbukumbu 4
Sikiliza Kumbukumbu 4
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: Kumbukumbu 4:16-18
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video