Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Danieli 2:44

Danieli 2:44 NEN

“Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni atauweka ufalme ambao kamwe hautaangamizwa, wala hautaachiwa taifa lingine. Utaziponda zile falme zote na kuzikomesha, bali wenyewe utadumu milele.