2 Wafalme 2:12
2 Wafalme 2:12 NEN
Elisha aliliona hili, naye akapaza sauti, “Baba yangu! Baba yangu! Magari ya vita ya Israeli na wapanda farasi wake!” Naye Elisha hakumwona tena. Kisha akaishika nguo yake na kuirarua vipande viwili.
Elisha aliliona hili, naye akapaza sauti, “Baba yangu! Baba yangu! Magari ya vita ya Israeli na wapanda farasi wake!” Naye Elisha hakumwona tena. Kisha akaishika nguo yake na kuirarua vipande viwili.