Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Timotheo 2:1-2

1 Timotheo 2:1-2 NENO

Awali ya yote, nasihi kwamba dua, sala, maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote: kwa ajili ya wafalme na wale wote walio katika mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu.