Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Samweli 15:26-27

1 Samweli 15:26-27 NEN

Lakini Samweli akamwambia, “Sitarudi pamoja nawe. Umelikataa neno la BWANA, naye BWANA amekukataa wewe, usiendelee kuwa mfalme juu ya Israeli!” Samweli alipogeuka ili aondoke, Sauli akangʼangʼania pindo la joho lake, nalo likararuka.

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha