Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Wafalme 14:8

1 Wafalme 14:8 NENO

Nikararua ufalme kutoka kwa nyumba ya Daudi na kukupa wewe, lakini hukuwa kama mtumishi wangu Daudi, ambaye aliyashika maagizo yangu na kunifuata kwa moyo wake wote, akifanya tu lile lililokuwa sawa machoni pangu.