Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

1 Nyakati 4:10

1 Nyakati 4:10 NENO

Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!” Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.