上帝對 摩西 說、我是自有永有的.又說、你要對 以色列 人這樣說、那自有的打發我到你們這裏來。
Soma 出埃及記 3
Sikiliza 出埃及記 3
Shirikisha
Linganisha Matoleo Yote: 出埃及記 3:14
Siku 3
Siyo tu kwamba jina la Mungu ni tangazo, lakini ni mojawapo ya majina yenye nguvu zaidi ya Yesu. Katika mpango huu wa kusoma, Dk. Tony Evans anafundisha kuhusu jina hili lenye nguvu na maana yake kwetu kama waumini.
5 Days
The Lord is alive and active today, and He speaks to each of His children directly. But sometimes, it can be difficult to see and hear Him. By exploring the story of one man’s journey toward understanding the voice of God in the slums of Nairobi, you will learn what it looks like to hear and follow Him.
Siku 5
Bwana yu hai na ni mkamilifu leo, na uongea na kila mtoto wake moja kwa moja. Lakini wakati mwingine, inaweza kuwa ngumu kumuona na kumsikia Mungu. Kupitia kuchunguza hadithi ya safari ya mtu mmoja ya kufahamu sauti ya Mungu katika mabanda ya Nairobi, utasoma vile ilivyo kumsikia na kumfuata Mungu.
Siku 28
Soma Biblia Kila Siku 2 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Kitabu cha Kutoka na Injili ya Yohana, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.
Hifadhi mistari, soma bila mtandao, tazama klipu za mafunzo, na zaidi!
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video