1
Waroma 15:13
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Naye Mungu, mnayemngojea, awajaze ninyi nyote furaha na utengemano kwa hivyo, mnavyomtegemea, kingojeo chenu kiongezwe nguvu itokayo kwa Roho Mtakatifu!*
Linganisha
Chunguza Waroma 15:13
2
Waroma 15:4
*Kwani yote yaliyoandikwa kale yamendikwa, yatufundishe, tupate kukishika kingojeo chetu tukivumilia, tena tukitulizwa mioyo na yale Maandiko.
Chunguza Waroma 15:4
3
Waroma 15:5-6
Naye Mungu mwenye uvumilivu na mwenye kuituliza mioyo ya watu awape, mioyo yenu nyote iwe mmoja tu, kama inavyowapasa walio wa Kristo Yesu! Hivyo mtamtukuza Mungu, Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo, kwa moyo mmoja na kwa kinywa kimoja.
Chunguza Waroma 15:5-6
4
Waroma 15:7
Kwa hiyo mpokeane, kama Kristo alivyotupokea na sisi, Mungu atukuzwe!
Chunguza Waroma 15:7
5
Waroma 15:2
Kwetu kila mmoja sharti ampendeze mwenziwe, tusaidiane kujengana vizuri!
Chunguza Waroma 15:2
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video