1
Marko 2:17
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Yesu alipoyasikia akawaambia: Walio wazima hawapaswi na mganga, ila walio wagonjwa. Sikujia kuwaita waongofu, ila wakosaji.
Linganisha
Chunguza Marko 2:17
2
Marko 2:5
Yesu alipoona, walivyomtegemea, akamwambia mwenye kupooza: Mwanangu, makosa yako yameondolewa.
Chunguza Marko 2:5
3
Marko 2:27
Akawaambia: Siku ya mapumziko iliwekwa kwa ajili ya mtu; lakini mtu hakuwekwa kwa ajili ya siku ya mapumziko.
Chunguza Marko 2:27
4
Marko 2:4
wasipoweza kumpelekea yeye kwa ajili ya watu wengi wakafumua paa hapo, alipokuwapo. Walipokwisha kupatoboa wakakishusha kitanda, alichokilalia yule mgonjwa wa kupooza.
Chunguza Marko 2:4
5
Marko 2:10-11
Lakini kusudi mpate kujua, ya kuwa Mwana wa mtu ana nguvu ya kuondoa makosa nchini, akamwambia mwenye kupooza: Nakuambia: Inuka, jitwishe kitanda chako, uende nyumbani kwako!
Chunguza Marko 2:10-11
6
Marko 2:9
Kilicho chepesi ni kipi? Kumwambia mwenye kupooza: Makosa yako yameondolewa! au kusema: Inuka, ukichukue kitanda chako, uende?
Chunguza Marko 2:9
7
Marko 2:12
Ndipo, alipoinuka, akajitwisha papo hapo kitanda, akatoka machoni pao wote. Kwa hiyo wote wakashangaa, wakamtukuza Mungu wakisema: Yaliyo kama hayo hatujayaona kamwe.
Chunguza Marko 2:12
Nyumbani
Biblia
Mipango
Video